Saturday, May 18, 2013

MITIHANI YA MUHULA WA KWANZA 2013 LYUSA SEKONDARI.


PICHANI JUU WANAFUNZI WA LYUSA SEKONDARI KIDATO CHA PILI WAKIWA KATIKA MITIHANI YA KUMALIZA MUHULA WA KWANZA ILIYOANZA TAREHE 13/05/2013 NA KUMALIZIKA TAR 20/05/2013PICHANI CHINI NI WANAFUNZI WA  KIDATO CHA NNE WAKIJIANDAA KUINGIA KATIKA MTIHANI WA KANDA ILIYOANZA TAR 13/05/2013.

DIWANI ATEMBELEA MAENDELEO YA UJENZI WA MAHABARA.



DIWANI WA KATA YA NKOMA WILAYA YA MEATU BWANA ELIA GANDE KUTOKA KULIA AKIAMBATANA NA MWALIMU MKUU WA LYUSA SEKONDARI MWL DEOGRATIUS MAGESA KUTOKA KUSHOTO.WAKIWA KATIKA UKAGUZI WA MAENDELEO YA JENGO LA MAHABARA SHULENI HAPO NA KUSIFU KASI YA UJENZI YA INAYOENDELEA SHULENI HAPO.

Saturday, April 27, 2013

LYUSA WATEMBELEA KIMALI

Timu za mpira wa miguu (Wasichana) Kimali na Lyusa zikiwa katika mpambano mkali  na wakusisimua.

Timu ya shule ya sekondari Kimali katika picha ya pamoja.

 Timu ya shule ya sekondari Lyusa katika picha ya pamoja.

UJIRANI MWEMA

Timu za mpira wa miguu (Kimali na Lyusa Shule ya Sekondari) zikiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza mpambano ambao hadi unaisha timu ya Kimali ilikuwa ikiongoza.

 
Timu ya shule ya sekondari Kimali katika picha ya pamoja.



Timu ya shule ya sekondari Lyusa katika picha ya pamoja.